WAZIRI DKT. GWAJIMA AZIPA SALAMU ‘DAY CARE’ ZISIZOSAJILIWA

Na Mwandishi Wetu Dodoma Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amewatumia salamu wamiliki wa vituo vya kulelea watoto mchana ambao hawajasajili vituo hivyo na wanaendelea kutoa huduma hiyo. Waziri Dkt. Gwajima ametoa kauli hiyo jijini hapa wakati wa Tamasha la Karibu Dodoma linalofanyika katika viwanja vya Chinangali